390 B
390 B
Kiumbe
Ufafanuzi
Kiumbe ni kila kitu kilicho hai ambacho Mungu alikiumba, binadamu na wanyama.
- Nabii Ezekieli anaelezea kuona "viumbe hai" katika maono ya utukufu wa Mungu. Hakujua ni nini hivyo akaviita hivyo.
- Tambua kuwa neno kiumbe ina maana tofauti na kwa kuwa inajumuisha kila kitu ambacho Mungu amekiumba vilivyo hai na visivyo hai. Kiumbe ni vitu vilivyo hai peke yake.