11 lines
514 B
Markdown
11 lines
514 B
Markdown
# Dharau, kudharauliwa
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Dharau ni kitendo cha kutokuheshimu kinachooneshwa kwa mtu au kitu. Kitu kisichoheshimiwa kinaitwa kilichodharauliwa.
|
|
|
|
* Mtu au tabia ambayo inaonesha kutokumuheshimu Mungu inaitwa kudharau.
|
|
* Kushikilia katika dharau inamaanisha kumuona mtu kama asiye na thamani au kumuhukumu mtu kwa kumuona hana thamani.
|
|
* Mfalme Daudi alipotenda dhambi ya uzingi na kuua Mungu alimwambia kuwa Daudi ameonesha "dharau" kwa Mungu. Hii inamaanisha kuwa amemdharau Mungu kwa kufanya hivyo.
|
|
|