sw_tw/bible/other/contempt.md

514 B

Dharau, kudharauliwa

Ufafanuzi

Dharau ni kitendo cha kutokuheshimu kinachooneshwa kwa mtu au kitu. Kitu kisichoheshimiwa kinaitwa kilichodharauliwa.

  • Mtu au tabia ambayo inaonesha kutokumuheshimu Mungu inaitwa kudharau.
  • Kushikilia katika dharau inamaanisha kumuona mtu kama asiye na thamani au kumuhukumu mtu kwa kumuona hana thamani.
  • Mfalme Daudi alipotenda dhambi ya uzingi na kuua Mungu alimwambia kuwa Daudi ameonesha "dharau" kwa Mungu. Hii inamaanisha kuwa amemdharau Mungu kwa kufanya hivyo.