13 lines
501 B
Markdown
13 lines
501 B
Markdown
# Kula
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Kula ni kitendo cha kutumia kitu fulani. Pia ina maana nyingine.
|
|
|
|
* Katika Biblia kutumia inamaana ya kuharibu vitu au watu.
|
|
* Moto unaelezewa kula vitu ikiwa na maana ya kuharibu kwa kuviteketeza kwa moto.
|
|
* Mungu anajielezea kama moto ulao akiwa na maana ya kuelezea hasira yake dhidi ya dhambi. Hasira yake inasababisha adhabu kali kwa watenda dhambi wasiotubu.
|
|
* Kula chakula ni kitendo cha kuchukua na kula chakula au kinywaji.
|
|
* "kuila nchi" inamaana ya "kuiharibu nchi."
|
|
|