501 B
501 B
Kula
Ufafanuzi
Kula ni kitendo cha kutumia kitu fulani. Pia ina maana nyingine.
- Katika Biblia kutumia inamaana ya kuharibu vitu au watu.
- Moto unaelezewa kula vitu ikiwa na maana ya kuharibu kwa kuviteketeza kwa moto.
- Mungu anajielezea kama moto ulao akiwa na maana ya kuelezea hasira yake dhidi ya dhambi. Hasira yake inasababisha adhabu kali kwa watenda dhambi wasiotubu.
- Kula chakula ni kitendo cha kuchukua na kula chakula au kinywaji.
- "kuila nchi" inamaana ya "kuiharibu nchi."