12 lines
445 B
Markdown
12 lines
445 B
Markdown
# Suria
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Suria ni mwanamke ambaye ni mke wa pili wa mwanaume ambaye tayari ana mke. Suria mara nyingi sio mke halali wa mwanaume huyo.
|
|
|
|
* Katika agano la kale masuria walikuwa wanawake watumwa.
|
|
* Suria anaweza kupatikana kwa kununuliwa, kwa kushinda vita au kwa njia ya kulipa deni.
|
|
* Kwa mfalme kuwa na masuria wengi ilikuwa alama ya mamlaka.
|
|
* Katika agano jipya inafundisha kuwa kuwa na masuria ni kinyume na mapenzi ya Mungu.
|
|
|