445 B
445 B
Suria
Ufafanuzi
Suria ni mwanamke ambaye ni mke wa pili wa mwanaume ambaye tayari ana mke. Suria mara nyingi sio mke halali wa mwanaume huyo.
- Katika agano la kale masuria walikuwa wanawake watumwa.
- Suria anaweza kupatikana kwa kununuliwa, kwa kushinda vita au kwa njia ya kulipa deni.
- Kwa mfalme kuwa na masuria wengi ilikuwa alama ya mamlaka.
- Katika agano jipya inafundisha kuwa kuwa na masuria ni kinyume na mapenzi ya Mungu.