12 lines
429 B
Markdown
12 lines
429 B
Markdown
# Ukoo
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Ukoo ni kundi la wana familia wanaotokana na mababu.
|
|
|
|
* Katika agano la kale Waisraeli walihesabiwa kutokana na koo zao au makundi ya familia.
|
|
* Koo zilipewa majina kutokana na babu aliyejulikana sana.
|
|
* Mtu mmoja mmoja mara nyingine huitwa kwa jina la ukoo wake. Kwa mfano baba mkwe wa Musa mara nyingine aliitwa kwa jina la ukoo wake Reueli.
|
|
* Ukoo waweza kutafsiriwa kama "kundi la familia" au "ndugu."
|
|
|