sw_tw/bible/other/clan.md

429 B

Ukoo

Ufafanuzi

Ukoo ni kundi la wana familia wanaotokana na mababu.

  • Katika agano la kale Waisraeli walihesabiwa kutokana na koo zao au makundi ya familia.
  • Koo zilipewa majina kutokana na babu aliyejulikana sana.
  • Mtu mmoja mmoja mara nyingine huitwa kwa jina la ukoo wake. Kwa mfano baba mkwe wa Musa mara nyingine aliitwa kwa jina la ukoo wake Reueli.
  • Ukoo waweza kutafsiriwa kama "kundi la familia" au "ndugu."