11 lines
386 B
Markdown
11 lines
386 B
Markdown
# Gari
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Zamani za kale magari yalikuwa mepesi, yenye matairi mawili yalioendeshwa na farasi.
|
|
|
|
* Watu walikaa au kusimama katika magari, waliyatumia katika vita au safari.
|
|
* Katika vita jeshi lenye magari lilikuwa na faida ya kuwa na kasi na uwezo juu ya jeshi ambalo halikuwa na magari.
|
|
* Katika nyakati za Wamisri na Rumi walijulikana sana kwa kutumia farasi na magari.
|
|
|