12 lines
466 B
Markdown
12 lines
466 B
Markdown
# shayiri
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Neno "shayiri" limamaanisha aina ya nafaka iliyokuwa ikitumika kutengeneza mkate.
|
|
|
|
* Mche wa shayiri una bua refu lenye suke juu yake ambamo ndani yake punje au nafaka inakua.
|
|
* Shayiri hustawi wakati wa joto hivyo kwa kawaida inavunwa wakati wa kiangazi.
|
|
* Wakati shayiri inapopurwa, mbegu ya kuliwa inatenganishwa na makapi.
|
|
* Nafaka ya shayiri inasagwa na kuwa unga, ambao hatimaye unachanganywa na maji na mafuta ili kutengeneza mkate.
|
|
|