466 B
466 B
shayiri
Ufafanuzi
Neno "shayiri" limamaanisha aina ya nafaka iliyokuwa ikitumika kutengeneza mkate.
- Mche wa shayiri una bua refu lenye suke juu yake ambamo ndani yake punje au nafaka inakua.
- Shayiri hustawi wakati wa joto hivyo kwa kawaida inavunwa wakati wa kiangazi.
- Wakati shayiri inapopurwa, mbegu ya kuliwa inatenganishwa na makapi.
- Nafaka ya shayiri inasagwa na kuwa unga, ambao hatimaye unachanganywa na maji na mafuta ili kutengeneza mkate.