10 lines
378 B
Markdown
10 lines
378 B
Markdown
# Kupotea, akipotea, kupotoshwa
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Kupotea ina maana ya kutomtii Mungu. Watu wanaopotoshwa wamewaruhusu watu wengine kuwasababisha wasimtii Mungu.
|
|
|
|
* Kupotea inatuppa picha sahihi ya kuacha njia nzuri au sehemu salama na kwenda njia mbaya au sehemu yenye hatari.
|
|
* Kondoo wanaoacha malisho wanayopewa na mchungaji wao Mungu anawafananisha wa watu waliomuacha yeye.
|
|
|