656 B
656 B
Mkutano, kukusanyika
Ufafanuzi
Mkutano ni kundi la watu wanaokusanyika pamoja kujadili matatizo, kupeana ushauri na kufanya maamuzi.
- Mkutano ni kundi la watu wanaokusanyika pamoja kwa mda mfupi kwa ajili ya jambo maalumu au tukio maalumu.
- Katika agano la kale kulikuwa na mkutano maalumu ulioitwa mkutano takatifu ambapo wana wa Israeli walikusanyika kumuabudu Yahweh.
- Mara nyingine mkutano ina maanisha Waisraeli kwa ujumla kama kundi.
- Katika agano jipya viongozi wa Kiyahudi 70 katika miji mikuu kama Yerusalemu walikusanyika ili kutatua masuala ya kisheria na kutatua migogoro kati ya watu. Mkutano huo ulikuwa unajulikana kama Baraza.