|
# Mpiga mishale
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Mpiga mishale ni mtu mwenye ujuzi wa kutumia upinde na mshale kama silaha.
|
|
|
|
* Kwenye Biblia mpiga mishale mara nyingi ni askari anayetumia upinde na mshale kupigana vitani.
|
|
* Wapiga mishale walikuwa watu wa muhimu sana katika Jeshi la Siria.
|
|
|