Mpiga mishale
Ufafanuzi
Mpiga mishale ni mtu mwenye ujuzi wa kutumia upinde na mshale kama silaha.
- Kwenye Biblia mpiga mishale mara nyingi ni askari anayetumia upinde na mshale kupigana vitani.
- Wapiga mishale walikuwa watu wa muhimu sana katika Jeshi la Siria.