sw_tw/bible/other/administration.md

530 B

Utawala, mtawala

Ufafanuzi

Maneno "utawala" au "mtawala" yana maana ya kusimamia na kuongoza watu wa nchi ili kuwasaidia wafanye sawasawa na inavyotakiwa.

  • Danieli pamoja na vijana wengine watatu wa Kiyahudi walichaguliwa kuwa watawala au viongozi wa serikali katika eneo fulani la Babiloni.
  • Kwenye agano jipya neno "utawala" limetumika kumuelezea mtu aliye na karama za roho mtakatifu.
  • Mtu aliye na karama ya rohoni ya utawala ana uwezo wa kuongoza watu na kuwasimamia katika usimamizi wa majengo na mali nyingine.