10 lines
385 B
Markdown
10 lines
385 B
Markdown
# Zebedayo
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Zebedayo alikuwa mvuvi kutoka Galilaya anayejulikana kwa sababu ya wanawe, Yakobo na Yohana, waliokuwa wanafunzi wa Yesu. Hawa wamekuwa wakitajwa katika Agano Jipya kama "wana wa Zebedayo."
|
|
|
|
* Wana wa Zebedayo walikuwa wavuvi pia na walifanya naye kazi ya kuvua samaki.
|
|
* Yakobo na Yohana waliacha kazi yao ya kuvua na Zebedayo baba yao na wakamfuata Yesu.
|
|
|