11 lines
412 B
Markdown
11 lines
412 B
Markdown
# Tito
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Tito alikuwa Mpagani alikuja kuwa mwamini kupitia huduma ya Paulo mtume. Alifunzwa na Paulo kuwa kiongozi mwanzo wa makanisa.
|
|
|
|
* Barua kwa Tito na Paulo ni moja ya vitabu vya Agano Jipya.
|
|
* Katika hii barua Paulo ana muelekeza Titp kuteua viongozi wa kanisa katika kisiwa cha Krete.
|
|
* Katika barua zake zingine kwa Wakristo, Paulo anamtaja Tito kama mtu aliye mtia moyo na kumletea furaha
|
|
|