386 B
386 B
Tera
Ufafanuzi
Tera alikuwa mzao wa mwana wa Nuhu, Shemu. Alikuwa mwana wa Abramu, Nahori na Harani.
- Tera aliondoka nyumbani Uri ilikuweza kwenda kwenye nchi ya Kanani na mwanae Abramu, mtoto wa mjomba yake Lutu, na mke wa Abramu Sarai.
- Alipo kuwa njiani kwenda Kanani, Tera na familia yake waliishi miaka mingi mji wa Harani Mesopotamia. Tera alikufa Harani na miaka 205.