555 B
555 B
Syria
Ufafanuzi
Syria ni nchi iliyopo kaskazini mashariki ya Israeli. Wakati wa kipindi cha Agano Jipya, ilikuwa mkoa chini ya utawala wa Serikali ya Kirumi.
- Katika Agano la Kale, Wasyria walikuwa jeshi kubwa la maadui wa Israeli.
- Naamani alikuwa kiongozi mkuu wa jsehi la Syria aliye ponywa ukoma na nabii Elisha.
- Wakazi wengi wa Syria ni wazao wa Aramu, aliye mzao wa mwana wa Nuhu Shemu.
- Damasko, mji mkuu wa Syria, unatajwa mara nyingi kwenye Biblia.
- Sauli alienda mji wa Damasko kwa mpango wa kutesa Wakristo, lakini Yesu alimzuia