10 lines
304 B
Markdown
10 lines
304 B
Markdown
# Simoni
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Simoni alikuwa mmoja wa wanafunzi kumi na mbili wa Yesu.
|
|
|
|
* Simoni anatajwa mara tatu katika orodha ya wanafunzi wa Yesu, lakini machache yana julikana kuhusu yeye.
|
|
* Simoni alikuwa mmoja wa wale Kumi na Moja waliyo kutana kuomba pamoja Yerusalemu baada ya Yesu kurudi mbinguni.
|
|
|