Simoni
Ufafanuzi
Simoni alikuwa mmoja wa wanafunzi kumi na mbili wa Yesu.
- Simoni anatajwa mara tatu katika orodha ya wanafunzi wa Yesu, lakini machache yana julikana kuhusu yeye.
- Simoni alikuwa mmoja wa wale Kumi na Moja waliyo kutana kuomba pamoja Yerusalemu baada ya Yesu kurudi mbinguni.