11 lines
388 B
Markdown
11 lines
388 B
Markdown
# Shemu
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Shemu alikuwa mmoja wa wana wa Nuhu aliye enda nae kwenye safina kipindi cha gharika ya ulimwengu inayo elezwa katika kitabu cha Mwanzo.
|
|
|
|
* Shemu alikuwa babu wa Ibrahimu na wazao wake.
|
|
* Wazao wa Shemu wanajulikana kama "Wasemi" wanao zungumza lugha za "Kisemi" kama vile Kiebrania na Kiarabu.
|
|
* Biblia ina kumbukumbu ya maisha ya Shemu kuwa takribani miaka 600.
|
|
|