388 B
388 B
Shemu
Ufafanuzi
Shemu alikuwa mmoja wa wana wa Nuhu aliye enda nae kwenye safina kipindi cha gharika ya ulimwengu inayo elezwa katika kitabu cha Mwanzo.
- Shemu alikuwa babu wa Ibrahimu na wazao wake.
- Wazao wa Shemu wanajulikana kama "Wasemi" wanao zungumza lugha za "Kisemi" kama vile Kiebrania na Kiarabu.
- Biblia ina kumbukumbu ya maisha ya Shemu kuwa takribani miaka 600.