11 lines
371 B
Markdown
11 lines
371 B
Markdown
# Sethi
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Katika kitabu cha Mwanzo, Sethi alikuwa mwana wa tatu wa Adamu na Hawa.
|
|
|
|
* Hawa alisema kwamba Sethi alipewa kwake kwa sehemu ya mwanae Abeli, aliye uawa na kaka yake Kaini.
|
|
* Nuhu alikuwa mzao wa Sethi, hivyo kila mtu aliye ishi tangu kipindi cha gharika ni mzao wa Sethi.
|
|
* Sethi na familia yake walikuwa watu wa kwanza "kuliita jina la Bwana."
|
|
|