13 lines
495 B
Markdown
13 lines
495 B
Markdown
# Senakeribu
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Senakeribu alikuwa mfalme mkubwa wa Assiria aliye sababisha Ninawi kuwa tajiri, na mji wa muhimu.
|
|
|
|
* Mfalme Senakeribu anajulikana kwa vita vyake dhidi ya Babiloni na ufalme wa Yuda.
|
|
* Alikuwa mfalme mwenye kiburi na kumdhihaki Yahweh.
|
|
* Senakeribu alishambulia Yerusalemu kipindi cha Mfalme Hezekia.
|
|
* Yahweh alisababisha jeshi la Senakeribu kuharibiwa.
|
|
* Vitabu vya Agano la Kale vya Wafalme na Nyakati vina adisia baadhi ya matukio ya Senakeribu na utawala wake.
|
|
|