495 B
495 B
Senakeribu
Ufafanuzi
Senakeribu alikuwa mfalme mkubwa wa Assiria aliye sababisha Ninawi kuwa tajiri, na mji wa muhimu.
- Mfalme Senakeribu anajulikana kwa vita vyake dhidi ya Babiloni na ufalme wa Yuda.
- Alikuwa mfalme mwenye kiburi na kumdhihaki Yahweh.
- Senakeribu alishambulia Yerusalemu kipindi cha Mfalme Hezekia.
- Yahweh alisababisha jeshi la Senakeribu kuharibiwa.
- Vitabu vya Agano la Kale vya Wafalme na Nyakati vina adisia baadhi ya matukio ya Senakeribu na utawala wake.