11 lines
375 B
Markdown
11 lines
375 B
Markdown
# Rebeka
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Rebeka alikuwa mjukuu wa kaka yake na Abrahamu yaani Nuhu.
|
|
|
|
* Mungu alimchagua Rebeka kuwa mke wa mtoto wa Abrahamu, Isaka.
|
|
* Rebeka alitoka mjia wa Aramu alipokuwa akiishi na kwenda na mtumishi wa Abrahamu katika mji wa Negevu ambapo Isaka aliishi.
|
|
* Kwa muda mrefu Rebeka hakuwa na mtoto lakini baadaye Mungu akambariki na mapacha Esau na Yakobo.
|
|
|