375 B
375 B
Rebeka
Ufafanuzi
Rebeka alikuwa mjukuu wa kaka yake na Abrahamu yaani Nuhu.
- Mungu alimchagua Rebeka kuwa mke wa mtoto wa Abrahamu, Isaka.
- Rebeka alitoka mjia wa Aramu alipokuwa akiishi na kwenda na mtumishi wa Abrahamu katika mji wa Negevu ambapo Isaka aliishi.
- Kwa muda mrefu Rebeka hakuwa na mtoto lakini baadaye Mungu akambariki na mapacha Esau na Yakobo.