12 lines
532 B
Markdown
12 lines
532 B
Markdown
# Petro, Simoni Petro, Kefa
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Petro alikuwa mmoja wa mitume wa Yesu. Alikuwa kiongozi wa muhimu katika kanisa la kwanza.
|
|
|
|
* Kabla Yesu hajamuita kuwa mwanafunzi wake aliitwa Simoni.
|
|
* Baadae Yesu akamuita Kefa yenye maana ya "jiwe" au "mwamba." Jina Petro pia linamaana ya "jiwe" au "mwamba" kwa lugha ya Kigiriki.
|
|
* Mungu alifanya kazi kupitia Petro kwa kuwaponya watu na kuhubiri habari njema kuhusu Yesu.
|
|
* Vitabu viwili vya agano jipya ni barua ambazo Petro aliandika kuwatia moyo na kuwafundisha waamini wenzake.
|
|
|