15 lines
913 B
Markdown
15 lines
913 B
Markdown
# Paulo, Sauli
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Paulo alikuwa kiongozo wa kanisa la kwanza aliyetumwa na Mungu kupeleka habari njema kwa makundi mengi ya watu.
|
|
|
|
* Paulo alikuwa Myahudi aliyezaliwa Rumi kwenye mji wa Tarso hivyo alikuwa raia wa Rumi.
|
|
* Paulo kwa jina la Kiyahudi aliitwa Sauli.
|
|
* Sauli alikuwa kiongozi wa dini ya Kiyahudi na aliwafunga Wayahudi waliokuwa Wakristo kwa sababu alifikiri kuwa hawakumuheshimu Mungu kwa kumwamini Yesu.
|
|
* Yesu alijidhihirisha mwenyewe kwa Sauli kwa kutumia mwanga unaopofua na kumwambia aache kuwatesa Wakristo.
|
|
* Sauli alimwamini Yesu na akaanza kuwahubiria Wayahudi wenzake kuhusu Yesu.
|
|
* Baadaye Mungu akamtuma Sauli kwenda kuwahubiria wasio Wayahudi kuhusu Yesu na kuanzisha makanisa katika miji na vijiji mbalimbali. Wakati huu sasa akaanza kuitwa Paulo.
|
|
* Paulo pia aliandika barua ili kuwatia moyo Wakristo katika makanisa kwenye miji hiyo. Barua hizi zipo katika agano jipya.
|
|
|