12 lines
471 B
Markdown
12 lines
471 B
Markdown
# Mto Nili, Mto wa Misri
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Nili ni mto mrefu na mpana katika kaskazini mashariki mwa Africa. Unajulikana kama mto rasmi wa Misri.
|
|
|
|
* Mto Nili unapita kaskazini kupita Misri na kwenda Bahari ya Medetarenia.
|
|
* Mimea ina kua kwenye nchi ya rotuba pande zote mbili za Mto Nili.
|
|
* Wamisri wengi wanaishi karibu na Mto Nili maan ni muhimu kwa maji na mazao ya chakula.
|
|
* Waisraeli waliishi nchi ya Gosheni iliyo kuwa na rotuba kwababu ilikuwa upande wa Mto Nile
|
|
|