471 B
471 B
Mto Nili, Mto wa Misri
Ufafanuzi
Nili ni mto mrefu na mpana katika kaskazini mashariki mwa Africa. Unajulikana kama mto rasmi wa Misri.
- Mto Nili unapita kaskazini kupita Misri na kwenda Bahari ya Medetarenia.
- Mimea ina kua kwenye nchi ya rotuba pande zote mbili za Mto Nili.
- Wamisri wengi wanaishi karibu na Mto Nili maan ni muhimu kwa maji na mazao ya chakula.
- Waisraeli waliishi nchi ya Gosheni iliyo kuwa na rotuba kwababu ilikuwa upande wa Mto Nile