|
# Nahumu
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Nahumu alikuwa nabii aliye ubiri kipindi ambacho mfalme mouvu Manase alitawala Yuda.
|
|
|
|
* Nahumu alitoka mji wa Elkoshi, maili 20 kutoka Yerusalemu.
|
|
* Agano la Kale kitabu cha Nahumu kimeandika unabii wake kuhusu uharibifu wa mji wa Ninewi.
|
|
|