sw_tw/bible/names/nahor.md

10 lines
272 B
Markdown

# Nahori
## Ufafanuzi
Nahori lilikuwa jina la ndugu wawili wa Ibrahimu: babu yake na kaka.
* Kaka yake Ibrahimu Nahori alikuwa babu wa mke wa Isaka Rebeka.
* Maneno "mji wa Nahori" ulimaanisha, "mji uliyo itwa Nahori" au "mji ambao Nahori aliishi" au " Mji wa Nahori"