10 lines
322 B
Markdown
10 lines
322 B
Markdown
# Moleki, Moloki
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Moleki lilkuwa jina la miungu wa uongo ambao Wakanani waliabudu.
|
|
|
|
* Watu waliyo abudu Moleki alitoa dhabihu watoto wao kwake kwa moto.
|
|
* Waisraeli wengine pia waliabudu Moleki badala ya Mungu wa kweli, Yahweh. Walifuata matendo maovu ya waabudu Moleki, pamoja na kutoa dhabihu watoto wao
|
|
|