10 lines
333 B
Markdown
10 lines
333 B
Markdown
# Mizpa
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Mizpa ni jina la baadhi ya miji inayo tajwa katika Agano la Kale. Ina maana, "mnara wa doria"
|
|
|
|
* Daudi alipo kuwa anakimbizwa na Sauli, aliwaacha wazazi wake Mizpa, chini ya ulinzi wa mfalme Moabu.
|
|
* Mji moja unaoitwa Mizpa ulikuwa mpakani katika ya falme za Yuda na Israeli. Ilikuwa sehemu kubwa ya kijeshi.
|
|
|