333 B
333 B
Mizpa
Ufafanuzi
Mizpa ni jina la baadhi ya miji inayo tajwa katika Agano la Kale. Ina maana, "mnara wa doria"
- Daudi alipo kuwa anakimbizwa na Sauli, aliwaacha wazazi wake Mizpa, chini ya ulinzi wa mfalme Moabu.
- Mji moja unaoitwa Mizpa ulikuwa mpakani katika ya falme za Yuda na Israeli. Ilikuwa sehemu kubwa ya kijeshi.