11 lines
454 B
Markdown
11 lines
454 B
Markdown
# Mede, Media
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Media ulikuwa mji wa zamani uliyo kuwa mashariki mwa Asiria na Babilonia, na kaskazini mwa Elamu na Persia. Watu waliyo ishi katika utawala wa Media walitwa "Wamede."
|
|
|
|
* Utawala wa Media ulikuwa maeneo yote ya Uturuki, Irani, Syria, Iraq na Afghanistani.
|
|
* Wamede walikuwa karibu na Waajemi na tawala hizi mbili ziliungana kuwashinda Wababilonia.
|
|
* Babilonia ilivamiwa na Darius Mmede kipindi cha nabii Danieli kuishi huko.
|
|
|