12 lines
482 B
Markdown
12 lines
482 B
Markdown
# Malaki
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Malaki alikuwa mmoja wa manabii wa Mungu kwa ufalme wa Yuda. Aliishi katika ya miaka 500 kabla Kristo kuwa ulimwenguni.
|
|
|
|
* Malaki alitabiri kipindi ambacho hekalu la Israeli lilikuwa likijengwa baada ya kurudi kutoka matekani ya Babiloni.
|
|
* Ezra na Nehemia waliishi kipindi kimoja na Malaki.
|
|
* Kitabu cha Malaki ni kitabu cha mwisho cha Agano la Kale.
|
|
* Kama manabii wa Agano la Kale, Malaki alisisitiza watu kutubu dhambi zao na kumrudia kumuabudu Yahweh.
|
|
|