482 B
482 B
Malaki
Ufafanuzi
Malaki alikuwa mmoja wa manabii wa Mungu kwa ufalme wa Yuda. Aliishi katika ya miaka 500 kabla Kristo kuwa ulimwenguni.
- Malaki alitabiri kipindi ambacho hekalu la Israeli lilikuwa likijengwa baada ya kurudi kutoka matekani ya Babiloni.
- Ezra na Nehemia waliishi kipindi kimoja na Malaki.
- Kitabu cha Malaki ni kitabu cha mwisho cha Agano la Kale.
- Kama manabii wa Agano la Kale, Malaki alisisitiza watu kutubu dhambi zao na kumrudia kumuabudu Yahweh.