|
# Muumbaji
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Kwa ujmla, "muumbaji" ni mtu anaye tengeneza au kufanya vitu.
|
|
|
|
* Katika Biblia, neno "Muumbaji" mara nyingine linatumika kama jina au cheo cha Yahweh, kwasababu ameumba kila kitu.
|
|
* Mara kwa mara hili neno lina ambatana na "wake" au "wangu" au "wako"
|
|
|