Muumbaji
Ufafanuzi
Kwa ujmla, "muumbaji" ni mtu anaye tengeneza au kufanya vitu.
- Katika Biblia, neno "Muumbaji" mara nyingine linatumika kama jina au cheo cha Yahweh, kwasababu ameumba kila kitu.
- Mara kwa mara hili neno lina ambatana na "wake" au "wangu" au "wako"