sw_tw/bible/names/macedonia.md

12 lines
449 B
Markdown

# Makedonia
## Ufafanuzi
Katika Agano jipya, eneo lililo upande wa kaskazini wa Ugiriki.
* Miji Muhimu ilikuwa Berea, Filipi, na Thesalonika.
* Katika maono, Mungu alimwambia Paulo kuhubiri injili kwa watu wa Makedonia.
* Paulo na wafanya kazi wake walienda Makedonia na kuwa fundisha watu kuhusu Yesu na kuwasaidia kukua kiimani.
* Katika Biblia kuna barua ambazo Paulo aliandika kwa waaminin wa Makedonia katika miji ya Filipi na Thesalonike.