sw_tw/bible/names/macedonia.md

449 B

Makedonia

Ufafanuzi

Katika Agano jipya, eneo lililo upande wa kaskazini wa Ugiriki.

  • Miji Muhimu ilikuwa Berea, Filipi, na Thesalonika.
  • Katika maono, Mungu alimwambia Paulo kuhubiri injili kwa watu wa Makedonia.
  • Paulo na wafanya kazi wake walienda Makedonia na kuwa fundisha watu kuhusu Yesu na kuwasaidia kukua kiimani.
  • Katika Biblia kuna barua ambazo Paulo aliandika kwa waaminin wa Makedonia katika miji ya Filipi na Thesalonike.