sw_tw/bible/names/lamech.md

281 B

Lameki

Ufafanuzi

Lameki lilikuwa jina la wanaume wawili waliotajwa katika kitabu cha Mwanzo.

Lameki wa kwanza aliyetajwa alikuwa uzao wa Kaini. Alijivunia kwa wake zake wawili kuwa alimuua mtu kwa kumuumiza. Lameki wa pili alikuwa uzao wa Sethi. Alikuwa pia baba wa Nuhu.