sw_tw/bible/names/jehoiachin.md

355 B

Yehoyakimu

Ufafanuzi

Yehoyakimu alikuwa mfalme aliyetawala ufalme wa Yuda.

Yehoyakimu alikuwa mfalme alipokuwa na miaka 18. Alitawala miezi mitatu tu na baada ya hapo alikamatwa na jeshi la Babeli na kupelekwa Babeli. Wakati wa utawala wake mfupi, Yehoyakimu alifanya uovu kama babu yake mfalme Manase na baba yake Mfalme Yehoyakimu alivyofanya.