sw_tw/bible/names/jebusites.md

328 B

Myebusi, Yebusi

Ufafanuzi

Wayebusi walikuwa kundi la watu walioishi nchi ya Kanaani. Walikuwa uzao wa mwana wa Hamu, Kanaani.

Wayebusi waliishi katika mji wa Yebusi, ambalo jina lake lilibadilishwa baadaye kuwa Yerusalemu mfalme Daudi alipoutawala. Melkizedeki, mfalme wa Salemu, inawezekana alikuwa Myebusi kwa asili.