11 lines
490 B
Markdown
11 lines
490 B
Markdown
# Hana
|
|
|
|
## Ufafanuzi
|
|
|
|
Hana alikuwa ni mama wa nabii Samwel. Alikuwa ni mmoja kati ya wake waili wa Elikana.
|
|
Hana alikuwa tasa, alikuwa hawezi kuzaa mtoto. Hiki kilikuwa ni kilio kikubwa sana kwa Hana.
|
|
Hana alimwomba Mungu kwa bidii sana hekaluni ili apate mtoto. Hana alimwahidi Mungu kumtoa mtoto huyu ili amtumikie Mungu.
|
|
Mungu alimpa haja yake na mtoto Samweli alipokuwa na umri wa kutosha, alimleta ili atumike hekaluni hekaluni.
|
|
Mungu alimpa Hana watoto wengine baada ya hayo.
|
|
|